"Tangazo
kwa WAJASIRIA HIPHOP wote wa DSM: Kama unajijua wewe ni mkali au kuna
mwana anatisha na anaweza fanya maajabu ndani ya Fidstylefriday... Na
pia upo/yupo tayari kuja location j3 ili tushoot show pamoja.. naomba
uni/mnitumie Demo/Ngoma zenu humu -----> cheusidawatv@gmail.com ( leo
nitazipitia email zenu mie mwenyewe na pia nitawacontact wote
mtakaonitumia", FID Q
No comments:
Post a Comment