WAJASIRIA HIPHOP

"Tangazo kwa WAJASIRIA HIPHOP wote wa DSM: Kama unajijua wewe ni mkali au kuna mwana anatisha na anaweza fanya maajabu ndani ya Fidstylefriday... Na pia upo/yupo tayari kuja location j3 ili tushoot show pamoja.. naomba uni/mnitumie Demo/Ngoma zenu humu -----> cheusidawatv@gmail.com ( leo nitazipitia email zenu mie mwenyewe na pia nitawacontact wote mtakaonitumia", FID Q

No comments:

Post a Comment