WAJASIRIA HIPHOP
"Tangazo
kwa WAJASIRIA HIPHOP wote wa DSM: Kama unajijua wewe ni mkali au kuna
mwana anatisha na anaweza fanya maajabu ndani ya Fidstylefriday... Na
pia upo/yupo tayari kuja location j3 ili tushoot show pamoja.. naomba
uni/mnitumie Demo/Ngoma zenu humu -----> cheusidawatv@gmail.com ( leo
nitazipitia email zenu mie mwenyewe na pia nitawacontact wote
mtakaonitumia", FID Q
AFTER XKUL BAAASH
pengine unaweza kusema kila msanii alifanya Poa sana lakini shukurani za pekee ni kwa mkali Mr Blue ambaye aliafanya vizuri zaidi sambamaba na nyota wengine kama mwana FA, Ommy Dimpoz, Kallah Jeremia, yOUNG d, Makomando, halikadhalika, Bob jUNIOR , Weusi, na bila kuwasahau waleee Mburula mburula eeeeeeeeee
Subscribe to:
Posts (Atom)