WAJASIRIA HIPHOP

"Tangazo kwa WAJASIRIA HIPHOP wote wa DSM: Kama unajijua wewe ni mkali au kuna mwana anatisha na anaweza fanya maajabu ndani ya Fidstylefriday... Na pia upo/yupo tayari kuja location j3 ili tushoot show pamoja.. naomba uni/mnitumie Demo/Ngoma zenu humu -----> cheusidawatv@gmail.com ( leo nitazipitia email zenu mie mwenyewe na pia nitawacontact wote mtakaonitumia", FID Q

AFTER XKUL BAAASH


Nyota  wa kwanza kupanda jukwaani alikuwa  ni Rich Mavoko mkali anayemili kihalali singo mpya ya 'One Time' ambaye ki ukweli alipigiwa shangwe za kutosha licha ya kuwa aliifanya shoo hiyo haraka haraka akiwa na ratiba ya kuwahi uwanja wa ndege tayari kwa shoo nyingine  iliyokuwa inamsubiri jijini Mwanza.Badae badae wakafuata wakali wengine kibao ambao hakika walisababisha vya kutosh ana kulifanya eneo lote  la Mbalamwezi  Beach kulipuka kwa shangwe kila msanii alipokuwa kiapanda jukwaani
pengine unaweza kusema kila msanii alifanya Poa sana lakini shukurani za pekee ni kwa mkali Mr Blue ambaye aliafanya vizuri zaidi sambamaba na nyota wengine kama mwana FA, Ommy Dimpoz, Kallah Jeremia, yOUNG d, Makomando, halikadhalika, Bob jUNIOR , Weusi, na bila kuwasahau  waleee Mburula mburula eeeeeeeeee