BAADA YA KUDONDOKA URAIANI LORD EYES ADONDOKA BONGO RECORDS
Baada ya misuko suko ya hapa na pale na hatimae kurudi uraiani, msanii
kutoka A city Lord eyes, anaonekana kurudi na kuitengeneza upya image
yake kwa kudondosha ngoma kwa kasi, kwa fans and friends.Lord ameonekana
katika studio za Bongo Recordsakiwa na majani na msanii Damian akirekod
pini.
Jina la ngoma halijafamika bado, but itakuwa ni surprise kwako.
Jina la ngoma halijafamika bado, but itakuwa ni surprise kwako.
Subscribe to:
Posts (Atom)