Msanii wa Hip Hop kutoka A Town City almaarufu kama
JOH MAKINI, baada ya kutamba na ngoma
nyingi nzuri hapa Tzee sasa leo baada ya kupiga story na Bk Cop aliweza
kufunguka na kusema kwamba mwaka huu ajapata mafanikio yoyote katika
kazi zake za muziki.
Lakini anategemea kupata mafanikio mazuri mwaka ujao kwa wewe shabiki
wake. Baada ya kufunguka hivyo pia alisema kwamba mwaka ujao ameanda
project nzuri kwa ajili ya wewe shabiki wake. @info kamili by JOH MAKINI
No comments:
Post a Comment