Samtimber
Maproducer wawili wakubwa jijini Arusha, Samtimber wa Fnouk Music Studios na Nisher wa Nisher Entertainment wameingia kwenye beef baada ya Samtimber kudai kuwa Nisher amekuwa akimletea dharau.
Akiongea na mwandishi wa habari hii, Samtimber amesema Nisher amekuwa akienda kwenye studio yake wakati akirekodi wasanii na kuanza kumkejeli kuwa anatengeneza ‘Bongo Flava’ na hawezi kufanya mixing.
Akiongea na mwandishi wa habari hii, Samtimber amesema Nisher amekuwa akienda kwenye studio yake wakati akirekodi wasanii na kuanza kumkejeli kuwa anatengeneza ‘Bongo Flava’ na hawezi kufanya mixing.
No comments:
Post a Comment