MAKAMUA ALIKUWA NA MIPANGO MIZURI MWAKA HUU

Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama MAKAMUA anayetamba na ngoma inayofahamika kwa jina la Don’t Cry, mpaka kupelekea mashabiki kumkubali katika tasnia hii ya muziki hapa Tzee.
Sasa latest info kutoka kwa MAKAMUA ni kwamba leo baada ya kuchonga na Bk cop aliweza kufunguka na kusema alikuwa na ndoto za kufungua band yake pamoja na studio.

Lakini kwa sasa haitowezekana kwa sababu alikuwa anaanda project zake binafsi za muziki lakini alimalizia kwa kusema kwamba mwakani ndiyo ataanza rasmi kupanga mikakati yake ya kufunguka band pamoja na studio yake.

No comments:

Post a Comment